Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Dhulma za kijinsia dhidi ya wanawake Mombasa pwani ya Kenya

Imechapishwa:

Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia madhila yanayowakuta wanawake pwani ya Kenya kwenye mji wa Mombasa ambako vitendo vya ukatili wa kijinsia vimeendelea kukithiri na sasa wanaharakati wanatoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivi.

Mji wa Mombasa pwani ya Kenya
Mji wa Mombasa pwani ya Kenya Sandro Senn/wikimedia.org
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.