Jua Haki Zako
Dhulma za kijinsia dhidi ya wanawake Mombasa pwani ya Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 09:52
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia madhila yanayowakuta wanawake pwani ya Kenya kwenye mji wa Mombasa ambako vitendo vya ukatili wa kijinsia vimeendelea kukithiri na sasa wanaharakati wanatoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivi.