Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Rais Museven asema ataanza kusaini tena hukumu ya kifo

Imechapishwa:

Wiki iliyopita rais wa Uganda, Yoweri Museven alitishia kuwa ataanza kusaini tena hukumu ya kifo kwa watuhumiwa wanaohukumiwa adhabu ya kunyongwa kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu.Mwandishi wetu Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ambao wametoa maoni yao.

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni. AFP Photo/Marc Hofer
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.