Jua Haki Zako
Uhuru wa Kujieleza na Haki ya Kupata Taarifa Nchini Tanzania Sehemu ya Mwisho
Imechapishwa:
Cheza - 11:23
Fuatilia sehemu ya pili na ya mwisho ya makala ya mada juu ya uhuru wa kujieleza na haki ya kupata taarifa nchini Tanzania, iliyowekwa bayana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wakati wa semina iliyowajumuisha wana hasasi za kiraia na wana habari jijini Dar es salaam katikati ya mwezi...