Jua Haki Zako
Uhuru wa Kujieleza na Haki ya Kupata Taarifa Nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 09:37
Fuatilia sehemu ya kwanza ya mada juu ya uhuru wa kujieleza na haki za kupata taarifa nchini Tanzania iliyowekwa bayana kwenye semina iliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Bindamu kwa kushirikiana na ICNL yenye makao makuu yake mjini Washington nchini Marekani.