Habari RFI-Ki
Serikali ya Uganda kuajiri madaktari wapya kufuatia kuendelea kwa mgomo
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Katika makala haya utasikia maoni kuhusu hatua iliyotangazwa na serikali ya Uganda ya kuanza kuajiri madaktari wapya baada ya kuendelea kwa mgomo wa madaktari wanaodai nyongeza ya mishahara na mazingira bora ya kazi. Karibu