Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Migomo ya madaktari itamalizwa vipi Afrika mashariki?

Imechapishwa:

Katika makala ya habari rafiki ..Mgomo wa madaktari nchini Uganda umeshuhudiwa siku yake ya pili huku mgonjwa mmoja akithibitika kupoteza maisha.Hata hivyo Mazungumzo yameshaanza kati ya viongozi wa madaktari na serikali.nini suluhu ya migomo ya madaktari katika mataifa ya Afrika mashariki?

Wauguzi wanaogoma nchini Kenya wakishinikiza nyongeza ya mshahara na mazingira mazuri ya kufanya kazi
Wauguzi wanaogoma nchini Kenya wakishinikiza nyongeza ya mshahara na mazingira mazuri ya kufanya kazi www.coastweek.com
Vipindi vingine
  • 09:41
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.