Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Hatma ya demokrasia ya Kenya

Imechapishwa:

Baada ya matokeo ya marudio ya uchaguzi wa raisi kutangazwa nchini kenya na kushuhudia Uhuru Kenyata akishinda mashirika ya kiraia yakosoa zoezi la uchaguzi na kutoa wito wa kuundwa kwa serikali ya mpito kwa walau mwaka mmoja au miwili ili kuruhusu kuandaliwa upya uchaguzi nchini humo.Upinzani umetangaza kutombua ushindi wa kenyatta na kuendelea na maandamano na mgomo wa kiuchumi..

Aliyekuwa mgombea mkuu wa upinzani NASA Raila Odinga.
Aliyekuwa mgombea mkuu wa upinzani NASA Raila Odinga. REUTERS/Thomas Mukoya
Vipindi vingine
  • 09:41
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.