Pata taarifa kuu
Siha Njema

Kifafa cha mimba kinachangia vifo vya wajawazito na watoto

Imechapishwa:

Wataalamu wanaangazia vifo vya watoto wachanga na wajawazito vinacvyochangiwa na tatizo la kifafa cha mimba katika siku za hivi karibuni.Daktari Daniel Nkungu bingwa wa matatizo ya kina mama akiwa Dar es salaam anazungumzia tatizo hili....

Jamii imetakiwa kupambana kutokomeza vifo vya watoto wachanga na wajawazito
Jamii imetakiwa kupambana kutokomeza vifo vya watoto wachanga na wajawazito AFP/File
Vipindi vingine
  • 10:14
  • 10:03
  • 09:21
  • 10:07
  • 09:54
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.