Mjadala wa Wiki
Raila ajitoa katika kinyang'anyiro huku Kenyata akisema bado yupo tayari kushiriki uchaguzi
Imechapishwa:
Cheza - 14:53
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa uchaguzi utafanyika nchini humo licha ya wagombea wa Muungano wa upinzani wa NASA kutangaza kujiondoa katika uchaguzi wa marudio kama ilivyotangazwa na tume huru ya uchaguzi IEBC.Wachambuzi wa siasa Dr Brian Wanyama na Haji Kaburu wanaangazia hali ya mambo nchini Kenya.