Habari RFI-Ki
Afrika mashariki itadhibiti vipi utengenezwaji wa pombe haramu,wasikilizaji wajadili
Imechapishwa:
Cheza - 10:13
Zaidi ya watu kumi wameripotiwa kupoteza maisha jijini Dar es salaam juma hili baada ya kunywa kilevi kinachosadikika kuwa haramu katika kitongoji cha kimara jijini humo.Mamlaka nchini Tanzania zimekuwa zikikabiliana na uzalishaji wa pombe haramu lakini bado juhudi hizo zinakabiliwa na changamoto kadhaa,wasikilizaji wanajadili nini kifanyike kukomesha utengenezwaji wa pombe hiyo...