Habari RFI-Ki
Besigye awataka Waganda kutembea kwa miguu kila jumanne kupinga mabadiliko ya katiba
Imechapishwa:
Cheza - 09:52
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye amewataka waganda kupinga mabadiliko ya katiba ambayo yanadaiwa kulenga kumruhusu raisi Museven kuwania tena uraisi kinyume cha katiba ya sasa inavyosema.Wasikilizaji wanaangazia mbinu ya kutembea kwa miguu itawasaidia kushawishi bunge lisifanye mabadiliko?