Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Wabunge wa chama tawala nchini Uganda wataka kubadilisha Katiba

Imechapishwa:

Wabunge wa chama tawala nchini Uganda, wanapanga kuwasilisha mswada bungeni kuibadilisha Katiba ili kuondoa kifungu cha ukomo wa urais. Katiba ya Uganda inaeleza kuwa mtu hastahili kuwania urais akiwa na zaidi ya miaka 75. Wabunge wa upinzani wameapa kutoruhusu mabadiliko hayo. Je, wataweza ?

Wabunge wa upinzani nchini Uganda wakiwa wanazozana wakati wa kupinga mswada wa kuondoa kikomo cha umri
Wabunge wa upinzani nchini Uganda wakiwa wanazozana wakati wa kupinga mswada wa kuondoa kikomo cha umri REUTERS/James Akena
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.