Habari RFI-Ki
Baraza la Kiswahili la Jumuiya ya Afrika Mashariki lazinduliwa Zanzibar
Imechapishwa:
Cheza - 09:21
Tume ya Lugha ya Kiswahili ya Afrika Masharik imezinduliwa rasmi kwa kwa lengo la kuhimiza uzungumzaji wa lugha hiyo katika ukanda wa Afrika Mashariki yenye watu zaidi ya Milioni 150.Je Kwa namna gani kiswahili kimefanikisha utangamano katika jumuiya ya Afrika mashariki.