Nyumba ya Sanaa
Kutana na Tumainisia Shao katika sanaa ya uimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 19:29
Mbali ya kujishughulisha na uimbaji wa nyimbo za Injili ni mjasiriamali mwenye ndoto lukuki za kutimiza katika maisha yake.Leo ametembelea nyumba ya sanaa ya RFIKISWAHILI.Ambatana nasi