Habari RFI-Ki
Wanaharakati nchini Tanzania wazindua kampeni ya kulinda uhuru wa kujieleza
Imechapishwa:
Cheza - 10:15
Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania kimezindua kampeni za kulinda uhuru wa kujieleza na uhuru wa kukusanyika ili wananchi waweze kutambua haki zao kwa mujibu wa katiba. Kituo hicho kwa ushirikiano na jukwaa la wahariri nchini Tanzania wamezindua kampeni hiyo baada ya kubaini matatizo yanayorudisha nyuma uhuru wa kukusanyika.