Mjadala wa Wiki
VIta dhidi ya biashara ya dawa za kulevya Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 11:59
Serikali za Kenya na Tanzania zimetangaza vita dhidi ya biashara haramu ya dawa za kulevya. Nchini Tanzania, washukiwa na watumiaji wametajwa, huku serikali ya Kenya ikisema siku za walanguzi hao imefika mwisho.Je mataifa hayo yatafanikiwa katika vita hivi ?