Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema watu wanaopatikana na kosa la kuhusika na ubakaji, wanastahili kuuawa.Kiongozi huyo wa Uganda ameshutumu visa vya ubakaji na kusema kuwa mbakaji ni muuaji na anastahili pia kuawa.Madai haya yamekuja baada ya kuwepo kwa uchunguzi na ripoti kutolewa, ikiyashutumu wanajeshi wa UPDF kwa kuwabaka wanawake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Vipindi vingine
-
10:00
-
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.25/04/202409:51 -
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.23/04/202409:52 -
09:41
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48