Serikali ya DRCongo yatangaza siku tatu za maombolezo nchini humo kufuatia mauaji ya watu zaidi ya 50 yaliotokea mwishoni mwa juma lililopita. Makundi ya waasi wa ADF-Nalu kutoka Uganda na FDLR kutoka Rwanda yamekuwa yakinyooshewa kidole kuhusika na mauaji ya mara kwa mara nchini humo, hasa mauaji haya yametokea ikiwa ni siku chache baada ya rais Joseph Kabila kutamatisha ziara yake nchini humo. Ali Bilali anazungumza na wananchi kutoka katika maeneo mbalimbali kuzungumzia hali ya usalama na kutoa salam za rambirambi kwa familia zilizopoteza wapendwa wao.
Vipindi vingine
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57 -
09:31
-
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake20/03/202410:08 -
09:31