Habari RFI-Ki
Hatimaye makamishna wa IEBC nchini Kenya waridhia kuachia ngazi
Imechapishwa:
Cheza - 09:48
Hatimaye makamishna wa tume ya uchaguzi nchini kenya IEBC wamekubali kuachia nyadhifa zao baada ya shinikizo lililoanzishwa na wanasiasa wa upinzani nchini Kenya wakati huu taifa hilo likijiandaa kuelekea katika uchaguzi mkuu mwaka ujao.Je nini hisia za wakenya na wasikilizaji katika ukanda wa afrika mashariki?