Unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee ni muhimu katika ukuaji na maendeleo ya mtoto na huchangia kupunguza vifo ya watoto chini ya miaka mitano kwa asilimia 20. Ripoti mbalimbali zinaonyesha ulishaji maziwa ya mama pekee kwa watoto chini ya miezi sita imekuwa tatizo kubwa kwa wanawake walioajiriwa au kujiajiri na uanzishaji wa lishe mbadala ndio chanzo kikubwa cha magonjwa ya utotoni na ukubwani.
Vipindi vingine
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57 -
09:31
-
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake20/03/202410:08 -
09:31