Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Fahamu changamoto za unyonyeshaji maziwa ya mama

Imechapishwa:

Unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee ni muhimu katika ukuaji na maendeleo ya mtoto na huchangia kupunguza vifo ya watoto chini ya miaka mitano kwa asilimia 20. Ripoti mbalimbali zinaonyesha ulishaji maziwa ya mama pekee kwa watoto chini ya miezi sita imekuwa tatizo kubwa kwa wanawake walioajiriwa au kujiajiri na uanzishaji wa lishe mbadala ndio chanzo kikubwa cha magonjwa ya utotoni na ukubwani.

Unyonyeshaji wa maziwa ya mama unahamasishwa duniani kote ili kusaidia ukuaji mzuri wa watoto
Unyonyeshaji wa maziwa ya mama unahamasishwa duniani kote ili kusaidia ukuaji mzuri wa watoto hivisasa.co.tz
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.