Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Wanaowapa mimba wanafunzi nchini Tanzania kwenda jela miaka 30

Imechapishwa:

Kufuatia sheria iliyopitishwa na wabunge wa Tanzania katika marekebisho ya sheria ya elimu, kwa sasa watu wanaowapa mimba wanafunzi na kuoa ama kuolewa na wanafunzi watakwenda jela miaka 30, karibu usikie maoni ya wachangiaji kuhusu sheria hii.

Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania RFI/BILALI
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.