Habari RFI-Ki
Wanaowapa mimba wanafunzi nchini Tanzania kwenda jela miaka 30
Imechapishwa:
Cheza - 09:29
Kufuatia sheria iliyopitishwa na wabunge wa Tanzania katika marekebisho ya sheria ya elimu, kwa sasa watu wanaowapa mimba wanafunzi na kuoa ama kuolewa na wanafunzi watakwenda jela miaka 30, karibu usikie maoni ya wachangiaji kuhusu sheria hii.