Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Ukiukwaji wa haki za Waafrika Ugaibuni

Imechapishwa:

Juma hili tunaangazia ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wafanyakazi wa ndani wanaotoka Afrika Mashariki na kufanya kazi ugaibuni, hususan, Mashariki ya Kati. Hali tete imewakumba vijana wengi kutoka Afrika Mashariki wanapojikuta wanaenda kufanya kazi nje na mbali ya nchi zao na mambo kuwa tofauti walivyotegemea.

Mwanamke kutoka Indonesia akiandamana na kuishutumu nchi ya Saudia Arabia kuwa na tabia za kinyama kwa wafanyakazi wa ndani kutoka Indonesia.
Mwanamke kutoka Indonesia akiandamana na kuishutumu nchi ya Saudia Arabia kuwa na tabia za kinyama kwa wafanyakazi wa ndani kutoka Indonesia. AFP PHOTO / ADEK BERRY
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.