Afrika Ya Mashariki
Miaka 15 tangu kuaga dunia kwa Baba wa Taifa la Tanzania Mwalimu Julius Nyerere
Imechapishwa:
Cheza - 09:28
Juma hili, Tanzania imeadhimisha miaka 15 tangu kuaga dunia kwa Mwanzilishi wa taifa lao Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mwaka 1999.Ni kiongozi ambaye anakumbukwa ndani ya nje ya Tanzania kama anavyobaini Mwandishi wetu Julian Rubavu.