Wimbi la Siasa
Rasimu ya Katiba inayopendekezwa yawasilishwa bungeni nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 10:06
Kamati ya uandishi ya Bunge maalum la Katiba hivi karibuni iliwasilisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa baada ya kumaliza kazi yake mjini Dodoma Tanzania. Ndani ya Rasimu hiyo kuna masuala mazito ambayo yameibuka na kujua undani wake fuatilia makala ya Wimbi la Siasa na Victor Robert Wile........