Zanzibar-Tanzania
Ajira huongezeka kila linapo fanyika tamasha la Sauti za Busara
Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za busara Yusuf Mahmoud amesema kila linapofanyika tamasha hilo visiwani Zanziabar kumekuwa kukiongezeka ajira kwa wananchi na kuchangia kupunguza umaskini. Mkurufgenzi Mahmoud amesema kuwa Tamasha la Sauti za Busara licha ya kuongeza ajira lakinni vijana wamekuwa wakiongeza pato lao binafsi ba hata kwa wasanii wa hapa nyumbani ambao wanashiriki.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 00:56