Pata taarifa kuu
Zanzibar-Tanzania

Ajira huongezeka kila linapo fanyika tamasha la Sauti za Busara

Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za busara Yusuf Mahmoud amesema kila linapofanyika tamasha hilo visiwani Zanziabar kumekuwa kukiongezeka ajira kwa wananchi na kuchangia kupunguza umaskini. Mkurufgenzi Mahmoud amesema kuwa Tamasha la Sauti za Busara licha ya kuongeza ajira lakinni vijana wamekuwa wakiongeza pato lao binafsi ba hata kwa wasanii wa hapa nyumbani ambao wanashiriki.

Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za Busara Yuduf Mahmoud
Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za Busara Yuduf Mahmoud busaramusic
Matangazo ya kibiashara

m

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.