Zanzibar-Tanzania
Bei ya vyakula kupanda katika mkesha wa tamasha la Sauti Za Busara
Wakazi wa mjii mkongwe wa Zanzibar wamelalamikia kupanda kwa bei ya vyakula visiwani humo wakati hali ya kipato ikizidi kushuka chini katika msimu huu wa Tamasha la Sauti Za Busara.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 02:08