Habari RFI-Ki
Nini kifanyike ili kuzuia biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu?
Imechapishwa:
Cheza - 10:02
Siku ya kimataifa ya kupinga biashara haramu usafirishaji wa binadamu ambayo huadhimishwa duniani kote ifikapo julai 3o kila mwaka. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni yao.