Habari RFI-Ki
Siku ya kimataifa ya wafanyakazi yaadhimishwa duniani kote
Imechapishwa:
Cheza - 10:10
Ulimwengu leo unaadhimisha siku ya wafanyakazi huku wafanyakazi wakikabiliwa na changamoto mbalimbali. Je serikali za Afrika zinatia juhudi katika kutafuta majawabu ya changamoto zinazowakabili wafanyakazi. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu.