Jua Haki Zako
Wanaharakati wanavyokabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na wasichana
Imechapishwa:
Cheza - 10:09
Novemba 25 kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake lakini bado zipo changamoto zinazomkabili mwanamke. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya