Mjadala wa Wiki
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa 73 waanza jijini New York
Imechapishwa:
Cheza - 10:07
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa 73, unaendelea jijini New York nchini Marekani. Rais Donald Trump amefungua mkutano huo kwa kuishtumu Mahakama ya Kimataifa ya ICC na kusema haina mamlaka na ni dhaifu. Naye rais wa DRC, Joseph Kabila ameihakikishia dunia kuwa uchaguzi nchini mwake, utafanyika mwezi Desemba kama ilivyopangwa. Tunajadili hili na Dokta Brian Wanyama na Haji Kaburu, wachambuzi wa siasa za Kimataifa.