Habari RFI-Ki
Siku ya amani yaadhimishwa huku dunia ikishuhudia mizozo inayohatarisha ustawi wa amani
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Siku ya amani duniani huadhimishwa kila mwaka Septemba 21, hata hivyo baadhi ya mataifa ya Afrika yanatajwa kukabiliwa na migogoro ambayo ni chanzo cha kuzorotesha amani. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu kutoka sehemu mbalimbali duniani ili kupata maoni yao kuhusu siku hii.