Habari RFI-Ki
Mchango wa aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Dr. Koffi Annan
Imechapishwa:
Cheza - 10:33
Katika makala haya leo utasikia maoni ya wasikilizaji kuhusu mchango wa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Umoja wa mataifa kati ya mwaka 1997 hadi 2007 Dr. Koffi Annan katika usuluhishi na utatuzi wa migogoro duniani.