Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Waislamu duniani kote waungana kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitr

Imechapishwa:

Waumini wa dini ya Kiislamu duniani kote leo Juni 15 wanasherehekea sikukuu ya Eid El Fitr baada ya kumazika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu katika eneo la maziwa makuu na Afrika kwa ujumla ili kupata maoni yao namna wanavyosherehekea sikukuu hii na ujumbe wao kwa dunia

Eid al Fitr kwa Waislamu wote duniani
Eid al Fitr kwa Waislamu wote duniani wikipedia
Vipindi vingine
  • 10:04
  • 10:02
  • 09:47
  • 09:59
  • 09:35
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.