Wanajeshi wa kulinda amani wauawa nchini DRC
Kuuawa kwa wanajeshi wa kulinda amani raia wa Tanzania 14 nchini DRC, kutopatikana kwa mkataba katika mazungumzo ya kisiasa ya Burundi na hatua ya Marekani kutambua mji wa Jerusalem kuwa maka makuu ya Israel ni miongoni mwa masuala makubwa yaliyojiri wiki hii.
Kuhusu mada hiyo hiyo