Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Upinzani nchini Kenya waendelea na maandamano wiki hii
Imechapishwa:
Cheza - 19:44
Wiki hii, wafuasi wa muungano wa upinzani nchini Kenya NASA, waliandamana katika miji mbalimbali kushinikiza mabadiliko ndani ya Tume ya Uchaguzi kuelekea uchaguzi mpya wa urais tarehe 26 mwezi Oktoba. Wanajeshi wa DRC walikabiliana na waasi Mashariki mwa DRC na hali ya kisiasa inaendelea kuwa mbaya nchini Uhispania baada ya kura ya maoni ya jimbo la Catalonia wanaotaka kujitawala.Haya ni miongoni mwa yale yaliyojiri wiki hii.