GUINEA MPYA YA PAPUA
Watu wengi wahofiwa kufa katika ajali ya ndege Guinea mpya ya Papua
Watu zaidi ya 20 wanahofiwa kufariki dunia baada ya ndege ya abiria iliyokuwa imebeba watu thelathini na wawili kuanguka karibu na pwani ya Guinea mpya ya Papua huku watu wanne pekee wakiripotiwa kuokoka.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Matangazo ya kibiashara
Ndege hiyo aina ya PNG-8 yenye masafa yake kati ya Guinea mpya ya Papua na Australia ilikuwa ikitoka katika mji wa Lae kwenda pwani ya mji wa Madang kabla ya kuanguka, tume ya uchunguzi wa ajali hiyo imethibitisha