Mjadala wa Wiki
Korea Kaskazini yaapa kuendelea na majaribio ya makombora ya masafa marefu
Imechapishwa:
Cheza - 13:48
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, amesema nchi yake itaendelea kujaribu makombora yake ya masafa marefu licha ya kuonywa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuacha majaribio hayo.Hatua hii inakuja baada ya Pyongyang, kujaribu makombora yake ya masafa marefu hivi karibuni na kuzua wasiwasi katika nchi jirani lakini pia kwa nchi ya Marekani.