Mjadala wa Wiki
Rais Trump kurejesha wanajeshi wa Marekani nchini Afganistan
Imechapishwa:
Cheza - 07:20
Wiki hii, rais wa Marekani Donald Trump alitangaza mkakati wa serikali yake katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi hasa Taliban nchini Afganistan. Baada ya uongozi uliopita wa rais wa zamani Barrack Obama kuamua kuwarudisha maelfu ya wanajeshi nyumbani na kutangaza vita kumalizika nchini humo. Hata hivyo, Trump anaona kuwa uamuzi huo haukuwa sahihi. Tunachambua hili.