Pata taarifa kuu
India-Zilzala

Tetemeko la ardhi lauwa watu 36 nchini India

Watu 36 wamefariki dunia Kaskazini Mashariki mwa India katika majimbo ya Himalayan mji wa Nepal, baada ya tetemeko la ardhi lenye richa ya 6 nukta 9 kutokea na kuharibu pia jengo la ubalozi wa Uingereza nchini humo.

Matangazo ya kibiashara

Zaidi ya watu sitini walijeruhiwa katika tetemeko hilo la ardhi, ambalo pia limesabisha kubomoka kwa majengo kadhaa nchini katika mji huo wa Nepal na pia kusababisha kukatika kwa umeme na maji katika mji huo.

Serikali inasema inaendelea na shughuli za kuwasaidia wale wote waliothiriwa na tetemeko hilo la ardhi.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.