Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Serikali ya Tanzania yawafunga tembo vifaa maalum
Imechapishwa:
Cheza - 10:24
Katika makala haya hii leo tunaangazia hatua ya serikali ya Tanzania kuwafunga Tembo vifaa maalum kwa ajili ya kufuatilia mienendo yao ili kuweza kuwaratibu.