Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais wa zamani wa Kenya azikwa nyumbani kwake, mauaji yaendelea wilayani Beni, virusi vya Corona vyaangamiza zaidi
Imechapishwa:
Cheza - 20:09
Viongozi mbalimbali wa Afrika mashariki na kwingineko duniani walijiunga na Maelfu ya wakenya kushiriki mazishi ya aliyekuwa rais wa zamani wa nchi hiyo Daniel Arap Moi, katika eneo la Kabarak katika kaunti ya Nakuru, na huko jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, wasiwasi kuongezeka kuhusu maambukizi ya virusi hatari vya ebola, kutokana na maelfu ya wakaazi wa Mangina kutoroka makwao, mawaziri wa nchi za nje kutoka Uganda na Rwanda walikutana jijini Kigali, na kimataifa virusi vya Corona kusababisha maelfu ya watu kupoteza maisha nchini China.