Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais wa DRC Felix Tshisekedi aadhimisha mwaka mmoja madarakani, viongozi wa sudan kusini washindwa kuafikiana, virusi vya Corona vyaripotiwa China
Imechapishwa:
Cheza - 20:04
Katika makala hii tumeangazia mwaka mmoja wa rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi madarakani lakini pia kauli yake ya kulivunja bunge la kitaifa, nchini Burundi wabunge waidhinisha muswada wa sheria unaopanga marupurupu ya rais atakayestaafu lakini pia faida zingine, suala la ulanguzi wa binadamu nchini Kenya, waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania ajiuzulu na mengine mengi katika uga wa kimataifa.