Makala ya changu chako chako changu imeangazia kuhusu chimbuko la mitandao ya kijamii, lakini pia athari zake na namna ya kuepukana na udanganyifu katika mitandao hiyo. Katika kipengele cha utamaduni imeangaziwa jamii ya watu wa kabila la wawolowolo katika jimbo la Tanganyika huko DRC na tarativu za ndoa, katika awamu ya pili tutajaribu kuonyesha madhara yatokanayo na mitandao ya kijamii
Vipindi vingine
-
Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Lugha ya Kifaransa
Karibu katika Makala maalum ya Chako Changu Changu Chako, na hii leo kwa niaba ya Mwenzangu Ali Bilali utakuwa nami Ruben Lukumbuka, moja kwa moja kutoka hapa Mombasa pwani ya Kenya.18/03/202424:00 -
Historia ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani na namna ilivyosherehekewa mwaka huu wa 2024
09/03/202420:00 -
Maandalizi ya siku ya wanawake duniani ya March 08
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na mwanaharakati Florence Kiwuwa ambae pia ni mtangazaji wa RFI Kiswahili kuhusu maandalizi ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani.09/03/202419:47 -
Historia ya kombe la mataifa bingwa barani Afrika CAN sehemu ya pili
Makala haya ni sehemu ya pili ya historia ya michuano ya mataifa bingwa barani Afrika CAN.24/02/202419:58 -
Historia ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika CAN sehemu ya kwanza
Karibu kuungana naye Ali Bilali katika Makala ya leo Changu chako chako changu, ambapo anakuletea historia ya kombe la mataifa ya afrika na atiba ya shughuli kutoka Alliance francaise za ukanda na kwenye muziki atakuletea historia fupi ya mwanamuziki rapa kutoka nchini Kenya King Kaka. Kumbuka pia kumfolow kwa instagram15/02/202419:55