Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Hatima ya Uchaguzi Mkuu nchini Msumbiji

Imechapishwa:

Wananchi wa Msumbiji, wanasubiri matokeo ya Uchaguzi Mkuu baada ya kupiga kura siku ya Jumanne. Ni uchaguzi ambao wachambuzi wa siasa wanasema ni kipimo cha demokrasia na utekelezwaji wa mkataba wa amani uliotiwa saini kati ya waasi wa Renamo na serikali, miezi miwili iliyopita. Tunajadili suala hili.

Wapiga kura nchini Msumbiji wakipiga kura tarehe 15 2019
Wapiga kura nchini Msumbiji wakipiga kura tarehe 15 2019 PATRICK MEINHARDT / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.