Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Baraza huru laundwa nchini Sudan

Imechapishwa:

Baraza huru kati ya viongozi wa kijeshi na kiraia limeundwa nchini Sudan, kuongoza nchi hiyo kwa muda wa miaka mitatu, je, litatimiza mahitaji ya raia wa Sudan ? Tunajadili.

Sherehe nchini  Sudan baada ya kuundwa kwa baraza huru litakaloongoza kwa muda wa miaka mitatu
Sherehe nchini Sudan baada ya kuundwa kwa baraza huru litakaloongoza kwa muda wa miaka mitatu AFP/Ahmed Mustafa
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.