Jua Haki Zako
Ukatili wa kijinsia na wajibu wa raia na serikali kukabiliana na vitendo hivyo
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Matukio ya ukatili wa kijinsia bado ni changamoto katika mataifa ya Afrika mashariki na kati, tunaangazia namna utafiti na sheria zinavyoweza kusaidia kutatua changamoto hii. Ungana na Fredrick Nwaka aliyekuandalia makala haya