Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Viongozi wa waandamanaji na wa kijeshi Sudan wafikia mwafaka, AFDC yapania kugombea useneta nchini DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:05
Makala hii imeangazia makubaliano yaliyofikiwa kati ya viongozi wa waandamanaji na wakuu wa kijeshi kuhusu muundo wa serikali ya mpito nchini Sudan, huko DRCongo rais Felix Tshisekedi alitembelea kambi ya wakimbizi huko Djugu katika jimbo la Ituri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, ziara ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta nchini Tanzania, wakati kimataifa mvutano kati ya Marekani na Iran kuhusu suala la Nuklia