Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Machafuko nchini Sudan, maafa na majeruhi yaripotiwa

Imechapishwa:

Wiki hii, uongozi wa kijeshi nchini Sudan, uliamua kuvunja kambi ya waandamanaji jijini Khartoum ambao wamekuwa wakishinikiza jeshi kukabidhi madaraka kwa raia.Watu zaidi ya 60 walipoteza maisha na mamia kujeruhiwa. Nini hatima ya Sudan ? Tunajadili.

Kiongozi wa serikali ya kijeshi nchini Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan Abdulrahman.
Kiongozi wa serikali ya kijeshi nchini Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan Abdulrahman. AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.