Habari RFI-Ki
Moise Katumbi atafanikiwa kuviunganisha vyama vya upinzani nchini DRC?
Imechapishwa:
Cheza - 10:33
Mwanasiasa wa upinzani nchini DRC, Moise Katumbi ametangaza kufanya ziara katika majimbo yote nchini humo kwa kile anasema ni kuunganisha vyama vya upinzani. Je atafanikiwa? Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu