Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

DRC yampata Waziri Mkuu baada ya kusubiri miezi mitano

Imechapishwa:

Hatimaye rais wa DRC Felix Tshisekedi amemteua Sylvestre Ilunga kuwa Waziri Mkuu. Hii inakuja baada ya mashauriano ya muda mrefu kati ya rais huyo na mwenzake wa zamani Joseph Kabila. Matarajio ya raia wa DRC ni nini ?

Waziri Mkuu mpya wa DRC Sylvestre Ilunga Ilukamba (Kushoto) akisalimiana na rais Felix Tshisekedi (Kulia) walipokutana jijini Kinshasa Mei 20 2019
Waziri Mkuu mpya wa DRC Sylvestre Ilunga Ilukamba (Kushoto) akisalimiana na rais Felix Tshisekedi (Kulia) walipokutana jijini Kinshasa Mei 20 2019 www.rfi.fr
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.